Dosari kisheria zageuka mlango wa uhuru kwa aliyehukumiwa kifo
Arusha. Ilianza kama kesi ya mauaji iliyoonekana kumalizika miaka kadhaa iliyopita, lakini Desemba 29, 2025, ukurasa mpya ulifunguliwa katika maisha ya Jackson Wambura. Siku hiyo, Mahakama ya Rufaa iliyoketi Dar es Salaam ilifuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amepewa, baada ya kubaini kuwa safari ya kesi yake ilijaa dosari za kisheria zilizovunja msingi wa…