Wasichana wahimizwa kujikita kwenye masomo ya sayansi
Dodoma. Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolph Mkenda amesema zipo fursa mbalimbali ambazo zinatolewa na Serikali kwa wanafunzi wa kike ambao wanasoma masomo ya sayansi ikiwemo kupata mikopo kwenye bodi ya mikopo ya elimu ya juu, na kwa wale waliopata ufaulu mzuri kwenye mitihani yao ya kumaliza kidato cha sita kupata ufadhili wa…