Sintofahamu maziko ya Lungu akitimiza miezi sita tangu afariki

Dar es Salaam. Ikiwa imepita miezi sita tangu alipofariki dunia, Rais mstaafu wa Zambia, Edgar Lungu, bado mazishi yake yametawaliwa na sintofahamu kutokana na mvutano kati ya familia na Serikali ya Zambia. Lungu alifariki dunia Juni 5, 2025 katika hospitali ya Mediclinic Mediforum mjini Pretoria, Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu hadi alipofariki dunia, akiwa na…

Read More

DC Maswa awaonya vavamizi wa maeneo ya Serikali

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vicent Anney, amewaonya watu wote waliovamia maeneo ya taasisi za Serikali kuondoka mara moja, akisisitiza kuwa Serikali haitasita kuchukua hatua za kisheria dhidi ya yeyote atakayekiuka agizo hilo. Kauli hiyo imetolewa leo Januari 2, 2026 katika Kijiji cha Mwamitumai, kufuatia migogoro ya ardhi katika shule za msingi Mwamitumai,…

Read More

Abel ajivisha mabomu ya Camara, Yakoub Simba

BAADA ya makipa wawili wa Simba, Moussa Camara na Yakoub Suleiman kuumia huku wakitarajiwa kurudi uwanjani Februari 2026, kipa aliyebaki, Hussein Abel ametoa kauli ya upambanaji. Abel ambaye hajapata nafasi ya kucheza msimu huu mechi yoyote ya mashindano ndani ya Simba, ndiye amebaki kuwa tegemeo akitarajiwa kukaa langoni katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2026….

Read More