Steve Barker aanza na gia kubwa Simba
KIKOSI cha Simba tayari kipo visiwani Zanzibar kwa ajili ya ushiriki wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 baada ya kuondoka jijini Dar es Salaam asubuhi ya jana, huku ikibainika kuwa kocha mpya wa Simba, Steve Barker ameanza na gia kubwa kwa kubadilisha baadhi ya mambo ndani ya kambi ya timu hiyo. Simba imepangwa Kundi…