2026
Mwaka mpya unakucha huku kukiwa na vifusi na suluhu huko Gaza – Masuala ya Ulimwenguni
Mamia ya maelfu ya Wapalestina wamesalia kung’olewa, wengi wakiishi katika mahema ya kubahatisha yaliyowekwa kwenye ardhi tupu au kubanwa kwenye majengo yaliyoharibiwa bila kupata maji, umeme, huduma za afya au vyoo. Mvua za msimu wa baridi zimeongeza ugumu wa maisha, makazi ya mafuriko na kugeuza njia za kambi kuwa matope mazito. Matumaini dhaifu Hata hivyo,…
BALOZI MULAMULA ASISITIZA AMANI NA UMOJA 2026
::::::::: Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Liberatha Mulamula, amewatakia Watanzania heri ya mwaka mpya huku akiwatasisitiza kuendelea kudumisha amani na umoja. Waziri huyo Mstaafu wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mulamula ameyesema hayo alipozungumza leo, huku akiwapongeza Watanzania kwa kupokea mwaka mpya. Amewapongeza, wananchi…
IDADI YA WATALII WANAOITEMBELEA TANZANIA YAENDELEA KUPAA
…………. 📌 USHIRIKI WA RAIS SAMIA KATIKA KUVITANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NA UIMARISHAJI WA MINDOMBINU VYATAJWA. Na Sixmund Begashe, Mikumi Watalii wa ndani na nje wameendelea kuiamini na kuichagua Tanzania kama nchi salama ya kuitembelea kwa ajili ya kujionea vivutio mbalimbali vya Utalii ambapo kwa mwaka 2025 pekee idadi ya Watalii imeongezeka kwa asilimia 9…
Baraza Kuu laidhinisha bajeti ya kawaida ya UN ya $ 3.45 bilioni kwa 2026 – Masuala ya Ulimwenguni
Bajeti – iliyoidhinishwa na Baraza Kuu la wanachama 193 siku ya Jumanne – inaidhinisha dola bilioni 3.45 kwa mwaka ujao, ikijumuisha nguzo tatu kuu za kazi za Shirika: amani na usalama, maendeleo endelevu na haki za binadamu. Wakati bajeti iliyoidhinishwa ni takriban dola milioni 200 zaidi ya ya Katibu Mkuu pendekezo iliyoandaliwa chini ya Mpango…
Pamba Jiji yarudi kambini na mzuka
KIKOSI cha Pamba Jiji kimerejea kambini kujifua tayari kwa ngwe iliyosalia na Ligi Kuu Bara pamoja na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyosimamishwa tangu mapema Desemba mwaka jana kupisha fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 inayoendelea huko Morocco. Pamba Jiji inayoshika nafasi ya tatu kwa sasa katika msimamo wa ligi hiyo…
Simba kunafukuta! Mastaa wakuna vichwa
UJIO wa kocha mkuu mpya, Steve Barker ndani ya Simba umewafanya mastaa wa timu hiyo kuanza kukuna vichwa kutokana na kuwaambia wazi kwamba hataangalia ukubwa wa majina ya wachezaji waliopo kikosini, isipokuwa watapimwa kwa ufanisi wao uwanjani na jinsi watakavyoibeba timu akianza na michuano ya Kombe la Mapinduzi. Kocha huyo aliyetambulishwa Desemba 19 mwaka jana…
TRA YAKUSANYA TRILIONI 4.13 MWEZI DESEMBA PEKEE
::::::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake yenyewe ya makusanyo kwa kukusanya kodi kiasi cha Sh. Trilioni 4.13 kwa mwezi Desemba pekee sawa na ufanisi wa asilimia 102.9 wa lengo la kukusanya Sh. Trilioni 4.01. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam tarehe 01.01.2026 Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph…
Afghanistan kusalia kuwa mzozo mkubwa mnamo 2026, UN, washirika waonya – Masuala ya Ulimwenguni
Miaka ya mizozo, ikichangiwa na kuzorota kwa ukosefu wa chakula, majanga ya asili yanayotokea mara kwa mara, athari za mabadiliko ya hali ya hewa na kurudi kwa kiasi kikubwa kwa watu waliokimbia makazi yao, kumeacha wastani wa asilimia 45 ya watu – baadhi ya watu milioni 21.9 – wakihitaji msaada wa kibinadamu mwaka ujao. Kati…
Mataifa yaliyokua zaidi kiuchumi duniani mwaka 2025, sababu zatajwa
Dar es Salaam. Mwaka 2025 umeendelea kuwa kipindi muhimu katika historia ya uchumi wa dunia, ambapo mataifa mengi yameshuhudia ukuaji wa pato la taifa kutokana na mabadiliko ya kimkakati katika sera za kiuchumi, teknolojia, na biashara ya kimataifa. Baada ya changamoto za miaka iliyopita kama vile misukosuko ya kiuchumi, mabadiliko ya tabianchi, na athari za…