40 wahofiwa kufariki dunia wakisherehekea kuvuka mwaka mpya
Uswisi. Takriban watu 40 wanahofiwa kufariki dunia na wengine 100 wamejeruhiwa baada ya mlipuko kutokea katika baa maarufu ya watalii na mapumziko ya Constellation nchini Uswisi wakati wa sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya. Mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa moto huo ulisababishwa na mshumaa uliowekwa ndani ya chupa ya champagne katika sehemu ya chini…