RC Mwassa Aongoza Dua ya Kuliombea Taifa Kata ya Katoro, Kagera
RC Mwassa Aongoza Dua ya Kuliombea Taifa Kata ya Katoro, Kagera – Global Publishers Home Habari RC Mwassa Aongoza Dua ya Kuliombea Taifa Kata ya Katoro, Kagera
RC Mwassa Aongoza Dua ya Kuliombea Taifa Kata ya Katoro, Kagera – Global Publishers Home Habari RC Mwassa Aongoza Dua ya Kuliombea Taifa Kata ya Katoro, Kagera
TRC Yasitisha Safari za Treni ya SGR Kati ya Dodoma na Morogoro – Global Publishers Home Habari TRC Yasitisha Safari za Treni ya SGR Kati ya Dodoma na Morogoro
Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Juda Thadaeus Ruwa’ichi amesema 2025 ulikuwa mwaka mgumu na mzito. Amesema mwaka huo ambao pia ulikuwa Jubilei Kuu, ulikuwa na changamoto hasa kwao kama Watanzania, akisisitiza ulikuwa mgumu, wa majonzi, masikitiko na vifo. “Lakini hata katika magumu hayo, Mungu hajatuacha, Mungu hajatutupa,…
Mtaalamu Atoa Njia Salama za Kuepuka Radi, Mwongozo wa Kutokufa Upo Hapa – Global Publishers Home Habari Mtaalamu Atoa Njia Salama za Kuepuka Radi, Mwongozo wa Kutokufa Upo Hapa
Dar es Salaam. Mchungaji Godfrey Malisa aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kabla ya kufukuzwa uanachama mwaka jana, ameshitakiwa kwa kosa la uhaini katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi. Kesi hiyo iliyopangwa kutajwa kesho Ijumaa Januari 2, 2026, ipo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Mkama wa Mahakama hiyo mkoani Kilimanjaro. Hadi kufikia kesho,…
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amewatakia Watanzania heri ya Mwaka mpya 2026, akiwataka kuendelea kudumisha amani, mshikamano na umoja wa kitaifa ili kuharakisha maendeleo ya nchi. Katika salamu zake za Mwaka mpya, Rais Dk Mwinyi amesema mwaka 2025 umeacha alama ya mafanikio makubwa katika utekelezaji wa mipango na miradi ya maendeleo iliyoandaliwa na…
Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda amewaomba wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali na kudumisha amani, akisema utekelezaji wa miradi miwili ya kimkakati katika wilaya hiyo utakuwa sehemu ya historia endapo itakamilika kwa wakati. Kauli hiyo ameitoa usiku wa mkesha wa kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2026, Desemba 31, katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya,…
Hata kama kupunguzwa kwa ufadhili, migogoro na majanga ya hali ya hewa yaliathiri mifumo ya afya duniani kote – kutatiza huduma muhimu katika nchi nyingi – serikali na washirika bado walirekodi mafanikio makubwa katika kudhibiti magonjwa, kuzuia na kujitayarisha. Shirika la afya la Umoja wa Mataifa anasema picha mchanganyiko ya maendeleo na shinikizo ndani 2025…
Rais Mwinyi Awataka Wananchi Washiriki Michezo kwa Afya na Maendeleo – Global Publishers Home Habari Rais Mwinyi Awataka Wananchi Washiriki Michezo kwa Afya na Maendeleo
Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema bado anaendelea kukataa matukio ya utekaji kwa kuwa hayampendezi Mungu, kinyume cha sheria za nchi na hata dini haziyataki. Kauli hiyo ya Askofu Gwajima ni ya kwanza anaitoa akiwa katika kanisa hilo, tangu alipohubiri Juni 2, 2025 na kanisa lake kufungiwa…