NIKWAMBIE MAMA: Viongozi zingatieni sheria za Tanzania

Kitu kikubwa ambacho wazee wetu hawakukijua, kwenye michezo yetu ya utotoni tuliigiza tabia za baba zetu. Mtoto wa mfanyakazi aliigiza kama mfanyakazi, kadhalika wa mkulima pia aliigiza hivyo. Sipati picha kama mlevi angegundua kuwa mwanaye anamuigiza hadharani kwenye michezo. Bila shaka mtoto huyo angekiona kilichomtoa nyoka miguu, na si ajabu ungelikuwa ndio mwisho wake kucheza….

Read More

Hongera Dk Nchimbi kwa kumeza kidonge kichungu cha TLS

Kauli ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, kuhusu matukio ya Oktoba 29, 2025, imethibitisha kwa vitendo kuwa Serikali ni sikivu na iko tayari kupokea ushauri mzito unaolenga maslahi mapana ya taifa, hata pale unapokuja kwa namna ya “kidonge kichungu”. Katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini, Makamu wa…

Read More

Pande mbili siku 100 za Rais Samia

Dar es Salaam. Muhula wa pili wa urais wa Samia Suluhu Hassan unatimiza siku 100 leo. Kwa tathmini ya wadau, ni kipindi kilichoonesha mwanga wa utekelezaji wa ahadi zake, huku wengine wakitilia shaka baadhi ya mambo. Samia aliapa kuwatumikia Watanzania zaidi ya milioni 60 Novemba 3, 2025, baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu wa Oktoba…

Read More

Nani aliwanyonga pacha hawa wa miezi 10?

Dar es Salaam. Inaumiza kiasi gani unawaacha watoto wako pacha wakiwa wazima katika chumba ulichopanga, unakwenda kwa wakala kutoa pesa, lakini unarudi unakuta watoto wamenyongwa, hili ndilo lililomkuta Mwajuma Milonge. Jaji Hussein Mtembwa wa Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam, amemwachia huru Milonge aliyeshitakiwa kwa mauaji ya wanawe, Sulaiya Kunembe na Suleiya Kunembe, huku…

Read More

Rais wa Baraza Kuu awataka Wazungu ‘kusimama’ kwa Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Katika a anwani muhimu kwa Bunge la Ulaya huko Strasbourg, Ufaransa, Annalena Baerbock alirudia wito wake wa kudumisha umoja kati ya “nyakati za kujaribu” ulimwenguni. Alibainisha kuwa siku 40 tu hadi 2026, ulimwengu tayari umeona machafuko kote Venezuela, Iran na Greenland, juu ya uharibifu unaoendelea huko Ukraine, Gaza, Sudan na kwingineko. Amri ya kimataifa ‘inashambuliwa’…

Read More