Fanya haya ili ufanikiwe mwaka 2026
Mwaka 2025 unapofikia tamati, ni wakati mzuri wa kujitathmini. Watanzania wengi tulianza mwaka tukiwa na malengo mazuri ya kifedha kama kuweka akiba, kupunguza madeni, kuanzisha biashara, kuwekeza au kusimamia fedha zetu kwa nidhamu. Kwa baadhi ya watu, malengo haya yalitimia na kwa wengine yalipotea taratibu kutokana na changamoto za maisha ya kila siku. Kujitathmini si…