Tato yataja mbinu mpya kuimarisha sekta ya utalii 2026
Arusha. Chama cha Waendeshaji Watalii Tanzania (Tato) kimezitaka taasisi, wawekezaji na wadau wa sekta ya utalii nchini kuwekeza katika ujenzi na uwasilishaji wa simulizi zenye nguvu kuhusu vivutio vya utalii vilivyopo nchini. Kimesema kwa kufanya hivyo kutaongeza ushindani wa Tanzania katika soko la kimataifa na kukuza mchango wa sekta hiyo katika uchumi wa taifa. Wito…