Migogoro ya kihaiba na athari zake kazini, jamii
Dar es Salaam. Migogoro ya kihaiba ni miongoni mwa sababu kuu zinazochangia misuguano katika maeneo ya kazi, familia na jamii kwa ujumla. Mara nyingi, migogoro hii haitokani na chuki au nia mbaya, bali hutokana na kugongana kwa haiba tofauti za watu. Pale watu wawili au zaidi wenye mitazamo, mienendo na njia za kufanya uamuzi zisizofanana…