Kamati ya Bunge yatoa maagizo udhibiti wa bandari bubu nchini

Dar es Salaam. Kushamiri kwa bandari bubu nchini, kumeiamsha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kutoa maagizo kwa Serikali kuweka mkakati wa kudhibiti bandari hizo, kwani ndio lango la uingizwaji wa dawa za kulevya. Mbali na dawa kulevya, kamati hiyo imesema bandari bubu ni uchochoro unaotumika kupitisha bidhaa zisizohitajika nchini. Kauli hiyo inakuja wakati…

Read More

RAIS DKT. SAMIA AREJEA NCHINI AKITOKEA ADDIS ABABA AMBAPO ALISHIRIKI KWENYE MKUTANO WA KAWAIDA WA 39 WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Kiwanja che Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume, Zanzibar na kupokelewa na Viongozi mbalimbali akitokea nchini Ethiopia baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku nne, ambapo pamoja na mambo mengine alishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja…

Read More

Piga Pesa Mechi za Europa Leo

JE unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. Ligi kuu ya Hispania LALIGA kuendelea siku ya leo Atletico Madrid atakuwa ugenini kukipiga dhidi ya Rayo Vallecano ambao wapo nafasi ya 18 huku wageni wao…

Read More

Chuo cha Bahari Dar es Salaam chalia ukosefu wa meli ya mafunzo

Dar es Salaam. Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimeeleza kukabiliwa na changamoto ya uhaba wa miundombinu na vifaa vya kufundishia ikiwamo meli ya kufanyia mazoezi kwa vitendo kwa mabaharia wanafunzi. Kimesema kimekuwa kikitumia simulator (kifaa kinachofanana na meli) katika mafunzo kwa vitendo, hivyo kuiomba Serikali iwasaidie kipate meli ya mazoezi kwa vitendo, jambo…

Read More

Kihongosi aagiza DC Igunga kumaliza mgogoro wachimbaji wadogo

Tabora. Baadhi wachimbaji wadogo wa madini wamemuomba Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi ( CCM), Kenani Kihongosi kuingilia kati mgogoro baina yao na mwekezaji. Chimbuko la mgogoro huo umetokana na mwekezaji huyo raia wa kigeni anayetaka kuendeleza eneo hilo,  kuwapa miezi mitatu kuhamisha mali zao, muda walilodai  hautoshelezi. Hata hivyo, Kihongosi…

Read More

CCM Moshi Vijijini yasisitiza umoja, mshikamano kwa viongozi wake

Moshi. Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro, kimesema hakitamvumilia kiongozi yeyote ndani ya chama hicho atakayeleta mpasuko. Hayo yamesemwa leo Februari 15,2026 na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Moshi Vijijini, Sirili Mushi, wakati akizungumza na wajumbe wa mkutano wa Halmashauri kuu wa chama hicho, katika uwasilishwaji wa taarifa ya utekelezaji wa…

Read More