AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amewasisitiza wananchi wenye maeneo ya ardhi, kuhakikisha wanayaendeleza kabla serikali haijaanza kuchukua hatua. Dkt. Akwilapo ametoa kauli hiyo leo tarehe 11 Februari 2026 wakati akifungua Kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)…

Read More

Wakati Mkataba wa Kihistoria Unaisha, Hakuna Vizuizi vya Kufunga kwa Arsenal za Nyuklia za US-Russia – Masuala ya Ulimwenguni

Rais wa Marekani Barack Obama akitoa hotuba yake kuu ya kwanza, akieleza dhamira ya kutafuta amani na usalama wa ulimwengu usio na silaha za nyuklia, mbele ya maelfu ya watu mjini Prague, Jamhuri ya Czech, Aprili 5, 2009. Credit: Rasmi White House Picha na Pete Souza na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Alhamisi, Februari 12,…

Read More

AKWILAPO ATEMBELEA ENEO UNAPOJENGWA UWANJA WA AFCON ARUSHA

§ Atoa siku kumi na tano wasiokamilisha malipo ya viwanja vinavyozunguka uwanja kukamilisha  Asisitiza waliomilikishwa viwanja kufanya maendelezo Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Akwilapo tarehe 11 Februari 2026 ametembeleo eneo unapojengwa uwanja wa kisasa wa mpira kwa ajili Mashindano ya Fainali za Mataifa ya Afrika…

Read More