SERIKALI YAONGEZA UFANISI UKAGUZI WA MIONZI KATIKA MIPAKA NA BANDARI
Serikali kupitia Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeendelea kuimarisha usimamizi wa matumizi salama ya mionzi nchini kwa kufanya ziara maalum katika Kanda ya Ziwa. Ziara hiyo, iliyohusisha Bodi na Menejimenti ya TAEC, ililenga kukagua na kujionea utendaji kazi wa ofisi zake zilizopo Uwanja wa Ndege wa Mwanza, Bandari ya Mwanza, Ofisi ya TAEC…