Baada ya MWANZO Mpya, Je! Umeharakisha Mashindano ya Silaha za Nyuklia? – Masuala ya Ulimwenguni

Picha ya jaribio la nyuklia la Licorne la 1971, ambalo lilifanywa huko Polinesia ya Ufaransa katika Bahari ya Pasifiki. Credit: CTBTO Maoni na John Burroughs (san francisco, Marekani) Alhamisi, Februari 12, 2026 Inter Press Service SAN FRANCISCO, Marekani, Februari 12 (IPS) – Mkataba wa hivi karibuni zaidi wa kuweka vikwazo vya kimkakati vya silaha za…

Read More

DAWASA Yataka Wananchi Kusubiri Utafiti

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya usimamizi wa maji na safi na taka mkoa wa Dar es salaam (Dawasa) imesema kuwa inaendelea na tafiti katika wilaya zote za mkoa wa Dar es salaam ili kujua uhitaji wa maji safi na salama kwa wakazi wake. Mpango huo wa uchimbaji visima mkoa wa Dar es salaam ni kutokana…

Read More

Kalamba Games Wafungua Ukurasa Mpya wa Sloti Ndani ya Meridianbet

JE, sloti zinaweza kuwa zaidi ya kuzungusha alama na kusubiri bahati? Meridianbet inaonekana kujibu swali hilo kwa vitendo baada ya kuleta Kalamba Games, wabunifu wanaokuja na mtazamo tofauti kabisa. Ujio huu ni mabadiliko ya muonekano, na mtindo wa michezo unaomkaribisha mchezaji kwenye ulimwengu mpya wa burudani ya kidijitali. Kalamba Games wamejijengea jina kwa kutengeneza sloti…

Read More

Wadau wachora ramani hatma ya bajaji, boda za umeme Tanzania

Dar es Salaam/Dodoma. Wadau wa sekta za usafirishaji na uzalishaji wametoa wito wa kuboreshwa kwa mifumo ya usajili wa bajaji na pikipiki zinazotumia umeme (EVs), wakitaka Serikali kutumia uzoefu wa nchi zilizoendelea kiteknolojia ili kuiongoza nchi katika kipindi cha mpito kuelekea matumizi ya nishati safi. Wadau hao walitaja mataifa yaliyopiga hatua katika matumizi ya vyombo…

Read More

UMOJA WA ULAYA NA TANZANIA WAJADILIANA USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA MADINI

📍 Cape Town, Afrika Kusini Sekta ya Madini Tanzania imeendelea kudhihirisha mwelekeo chanya wa ukuaji na uimarikaji wa kimkakati kufuatia mwendelezo wa vikao vya Wizara ya Madini na wadau wa kimataifa katika Kongamano la Mining Indaba 2026 linaloendelea jijini Cape Town, nchini Afrika Kusini. Majadiliano  mbalimbali yaliyofanyika Februari 11, 2027 yameakisi dhamira thabiti ya Serikali…

Read More