FCC YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SARUJI KUJADILI HALI YA SOKO NA BEI
Kaimu Mkurugenzi Mkuu FCC Bi. Khadija Ngasongwa, akitoa maelezo kuhusu wajibu wa FCC kwenye kusimamia ushindani na kumlinda mlaji wakati wa kikao kazi na wazalishaji wa saruji nchini kilichofanyika katika ofisi za FCC Februari 11, 2026 Jijini Dar es Salaam. …………. TUME ya Ushindani (FCC) imekutana na wadau wa uzalishaji wa ndani wa saruji…