Fanya haya kudhibiti maudhui usiyoyapenda Instagram

Dar es Salaam. Mtandao wa Instagram umekuja na mfumo mpya wa mtumiaji kudhibiti maudhui ikiwemo picha na video unazotaka kuona ijulikanayo kama ‘algorithm’. Instagram algorithm ni mfumo unaotumia kanuni na akili unde (AI) kuamua ni maudhui gani yaonyeshwe kwa mtumiaji fulani, kwa wakati fulani na kwa mpangilio gani. Kwa lugha rahisi, ni akili ya nyuma…

Read More

KENAN ATEMBELEA NAKUJIONEA MIRADI YA MAENDELEO – IGUNGA

CHAMA Cha Mapinduzi CCM kimesema kimeridhishwa na ujenzi wa mradi wa kituo cha kupooza umeme kilichopo Ziba wilayani Igunga mkoani Tabora. Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM taifa Kenani Kihongosi alisema  hayo alipokagua ujenzi wa mradi huo uliogharibu shilingi bilioni 5.8 ambazo ni fedha za ndani kutoka Shirika la Umeme nchini TANESCO…

Read More

TRA IMEANZA KUTEKELEZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA KARATU

******** Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua ya utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa wakati wa kampeni wilayani Karatu mkoa wa Arusha ya kuitaka TRA kuongeza wigo wa utoaji huduma.  Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa ziarani Karatu Februari…

Read More

Saa 3 kabla mechi, New Amaan mambo bado! 

IKIWA zimesalia saa tatu kabla ya kuanza mtanange wa mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar wanaoutumia Yanga na JS Kablyie bado mambo hayajachangamka. Yanga ni mwenyeji katika mechi hiyo ya mwisho ya kundi B ikiikaribisha JS Kablyie ambayo hadi sasa inakamilisha ratiba ikiwa tayari imeondolewa michuanoni.  Mechi nyingine…

Read More

TRA United mambo si shwari

MABOSI wa TRA United huenda wakaachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mrundi Etienne Ndayiragije, baada ya pande hizo zote mbili kutokuwa na maelewano mazuri kwa siku za hivi karibuni, jambo linalochangia mwenendo mbaya wa matokeo ya Ligi Kuu. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti Ndayiragije aliyewahi kuzifundisha Azam FC, KMC FC na…

Read More

UTEKELEZAJI WA MKAKATI ENDELEVU WA BARRICK NORTH MARA WAFANIKISHA PROGRAMU YA UPANDAJI MITI KUHIFADHI MAZINGIRA MTO TIGITHE TARIME

Katika mwendelezo wa utelekezaji wa mkakati endelevu wa kampuni ya Barrick, Mgodi wake wa North Mara uliopo wilayani Tarime mkoani Mara umefanikisha upandaji wa miti zaidi ya 40,000 kando ya mto Tighite kwa ushirikiano na shirika lisilo la kiserikali la Jamii wa Watumiaji wa Maji Tigithe Chini (JWMTC) kwa ajili ya kuhifadhi mazingira na kurejesha…

Read More

Mavitu ya Khleffin yamkosha Josiah

KOCHA wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amefurahishwa na mwenendo wa timu hiyo hadi sasa katika mechi za Ligi Kuu ilizocheza msimu huu, huku akisifu usajili wa kiungo wa kikosi hicho, Khleffin Hamdoun, aliyesajiliwa katika dirisha dogo la Januari 2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah, amesema wachezaji wote waliosajiliwa katika dirisha dogo wameonyesha ushindani na nyota wengine…

Read More