Sababu mikoa hii kuongozwa na askari

Dar es Salaam. Kwa zaidi ya muongo sasa, magwanda ya kijeshi na taaluma ya ulinzi , imeshuhudiwa ikichukua nafasi zaidi katika teuzi za wakuu wa mikoa ya Kagera, Kigoma, Mtwara na Ruvuma. Ingawa katika kipindi hicho baadhi ya raia wamewahi kupata nafasi za kuiongoza mikoa hiyo, askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ)…

Read More

Samsung yafungua Maduka Mawili Mapya ya Brand Store Kunduchi na Ubungo, Ikionesha Uzoefu Kamili wa Wateja wa Samsung

Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika maeneo ya Kunduchi na Ubungo, hatua inayothibitisha uwepo thabiti wa Samsung nchini Tanzania na kuimarisha ahadi yake ya kuwaletea wateja uzoefu kamili wa teknolojia inaounganisha watu wote. Maduka haya yamefunguliwa ili wateja waweze kuona bidhaa zote za Samsung chini ya paa…

Read More

MAADHIMISHO YA BRELI KITAIFA KUFANYIKA MKOANI TANGA, WASIOONA KUNUFAIKA NA KONGAMANO HILO.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu  Sera , Bunge ,Uratibu na Wenye Ulemavu  Ummy Nderiananga  amesema Tanzania inaungana na nychi nyingine duniani katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Breli na maadhimisho hayo hufanyika katika halmashauri zote nchini kwa ngazi ya Kitaifa . Mh. Ummy ameogeza kuwa maadhimisho hayo yatafanyika Kitaifa …

Read More

Nyuki wavamia shule wajeruhi wanafunzi 11, walimu watatu

Morogoro. Wanafunzi 11 na walimu watatu wa Shule ya Msingi Kambi Tano iliyopo Mtaa wa Kambi Tano, Kata ya Lukobe katika Manispaa ya Morogoro, wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa na kundi la nyuki waliovamia eneo la shule hiyo leo Jumatano Februari 11, 2026. Majeruhi wote walipelekwa katika Kituo cha Afya Lukobe, walikopatiwa matibabu na baadaye kuruhusiwa…

Read More

Mabadiliko ya tabianchi yaibua hofu kwa watu wenye ulemavu

Dar es Salaam. Wakati athari za mabadiliko ya tabianchi zikizidi kushuhudiwa kwa mafuriko, ukame na uhaba wa maji katika Jiji la Dar es Salaam, kundi la watu wenye ulemavu limeendelea kuwa miongoni mwa waathirika wakubwa zaidi lakini mara nyingi sauti zao hazisikiki katika mipango ya kukabiliana na changamoto hizo. Hali hiyo imeibuka wakati wa mjadala…

Read More

Maendeleo Haya katika Mwitikio wa Kibinadamu wa Gaza Yamedhoofishwa na Ukosefu wa Usalama Uliokithiri – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihutubia mkutano wa 426 wa Kamati ya Utekelezaji wa Haki Zisizoepukika za Watu wa Palestina (CEIRPP). Credit: UN Photo/Evan Schneider na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumatano, Februari 11, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Februari 11 (IPS) – Tangu makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya…

Read More