Askofu Gwandu: Mitandao ya kijamii imejaa chuki na mipasho
Manyara. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mbulu, John Gwandu, amesema mitandao ya kijamii imekuwa uwanja wa matusi, fujo na mipasho, hali inayochochea chuki na kuharibu misingi ya amani na mshikamano wa Taifa. Askofu Gwandu amesema licha ya Watanzania kupenda amani, wanachokihitaji zaidi kutoka kwa viongozi wao ni kutendewa haki,…