TRA IMEANZA KUTEKELEZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA KARATU

******** Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua ya utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa wakati wa kampeni wilayani Karatu mkoa wa Arusha ya kuitaka TRA kuongeza wigo wa utoaji huduma.  Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa ziarani Karatu Februari…

Read More

Saa 3 kabla mechi, New Amaan mambo bado! 

IKIWA zimesalia saa tatu kabla ya kuanza mtanange wa mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar wanaoutumia Yanga na JS Kablyie bado mambo hayajachangamka. Yanga ni mwenyeji katika mechi hiyo ya mwisho ya kundi B ikiikaribisha JS Kablyie ambayo hadi sasa inakamilisha ratiba ikiwa tayari imeondolewa michuanoni.  Mechi nyingine…

Read More

TRA United mambo si shwari

MABOSI wa TRA United huenda wakaachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mrundi Etienne Ndayiragije, baada ya pande hizo zote mbili kutokuwa na maelewano mazuri kwa siku za hivi karibuni, jambo linalochangia mwenendo mbaya wa matokeo ya Ligi Kuu. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti Ndayiragije aliyewahi kuzifundisha Azam FC, KMC FC na…

Read More

UTEKELEZAJI WA MKAKATI ENDELEVU WA BARRICK NORTH MARA WAFANIKISHA PROGRAMU YA UPANDAJI MITI KUHIFADHI MAZINGIRA MTO TIGITHE TARIME

Katika mwendelezo wa utelekezaji wa mkakati endelevu wa kampuni ya Barrick, Mgodi wake wa North Mara uliopo wilayani Tarime mkoani Mara umefanikisha upandaji wa miti zaidi ya 40,000 kando ya mto Tighite kwa ushirikiano na shirika lisilo la kiserikali la Jamii wa Watumiaji wa Maji Tigithe Chini (JWMTC) kwa ajili ya kuhifadhi mazingira na kurejesha…

Read More

Mavitu ya Khleffin yamkosha Josiah

KOCHA wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amefurahishwa na mwenendo wa timu hiyo hadi sasa katika mechi za Ligi Kuu ilizocheza msimu huu, huku akisifu usajili wa kiungo wa kikosi hicho, Khleffin Hamdoun, aliyesajiliwa katika dirisha dogo la Januari 2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah, amesema wachezaji wote waliosajiliwa katika dirisha dogo wameonyesha ushindani na nyota wengine…

Read More

Vitendea kazi vyatajwa kikwazo mfumo anuani za makazi

Unguja. Licha ya mafanikio kadhaa yaliyopatikana kwenye mfumo wa anuani za makazi, uhaba wa vitendea kazi umetajwa kuwa moja ya changamoto kubwa katika kuleta ufanisi zaidi katika kazi hiyo. Hayo yamebainika wakati wa ugawaji wa vishikwambi kwa masheha, magari na bajaji za umeme kwa wafanyakazi wa Posta Kanda ya Zanzibar ikiwa ni mkakati wa kuongeza…

Read More