Sita wanusurika kifo radi ikiteketeza nyumba Tabora
Tabora. Watu sita wa familia moja, wakazi wa kijiji cha Ulamba, kata ya Kalunde, Manispaa ya Tabora, wamenusurika kifo baada ya kupigwa na radi iliyosababishwa na mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo, huku nyumba yao ikiteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, Februari 7, 2026. Tukio hilo limesababisha watu hao kupata majeraha katika sehemu mbalimbali za…