DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA AFCON 2027.

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka 2027 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amefanya kikao hicho leo Jumanne (Februari 10, 2026) Ofisi…

Read More

LHRC WATOA TAMKO LA HALI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA

Wakili Fulgence Massawe Mkurugenzi wa Uchechemuzi na Maboresho LHRC :::::::::  Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa tamko kwa vyombo vya habari kikieleza hali ya haki za binadamu nchini, miezi miwili baada ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu iliyoadhimishwa Desemba 10, 2025. Kituo hicho kimeeleza kuwa bado kuna changamoto kubwa…

Read More

Daladala yagonga wawili, yumo askari wa usalama barabarani

Mwanza. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia mmiliki wa daladala baada ya dereva aliyekuwa anaiendesha kukimbia baada ya kuwagonga watu wawili, akiwemo askari wa usalama barabarani. Aliyekamatwa ni Mohamed Mumpa (40), mkazi wa Isamilo jijini Mwanza, ambaye ni mmiliki wa daladala aina ya Toyota Hiace, inayofanya safari zake kati ya Kakobe – Airport wilayani Ilemela….

Read More

JAMII YAONYWA KUZINGATIA KANUNI ZA MATUMIZI SALAMA YA INTANETI

…… Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali imewataka  watumiaji wote wa mitandao nchini kufuata taratibu na kanuni za matumizi salama ya intaneti ili kujikinga na madhara yanayotokana na matumizi mabaya ya teknolojia. Wito huo umetolewa leo Februari 10, 2026 jijini Dodoma na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Nicholous Merinyo…

Read More

Wataalamu watakiwa kuwasaidia viongozi kufanya maamuzi sahihi

Dar es Salaam. Wasomi na wataalamu wametakiwa kusimamia ukweli na kutumia taaluma zao kusaidia maamuzi ya viongozi wa kisiasa ili kuisaidia jamii. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, alipozungumza katika baraza la madiwani wa manispaa hiyo lililoketi leo Jumanne Februari 10, 2026. Katika hotuba yake ya saa mbili, Mapunda amesema wananchi…

Read More

Meridianbet Kukupatia Ushindi Mkubwa Leo

IKIWA ni mwaka mpya una nafasi ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet kwani hapa ndipo unapata kila unachokitaka. ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 yanakungoja wewe. Ingia na ubashiri sasa. Ligi pendwa Duniani EPL, kuendelea leo kwa mechi za pesa Chelsea atakuwa Stamford Bridge kukipiga dhidi ya Leeds United ambao mechi ya kwanza ya ligi…

Read More