Kiungo Stand ana hesabu kali kikosini
BAADA ya kuanza kazi ndani ya kikosi cha Songea United, kiungo mshambuliaji, Shaban Ada amesema hesabu zake ni kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara ili kuimarisha kiwango chake, kuonekana na kucheza Ligi Kuu msimu ujao. Ada amejiunga na Songea United dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 30, 2026 akitokea Stand United ya Shinyanga inayoshiriki…