Watatu wa familia moja washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu watatu wa familia moja, Solomon Mwambyale na watoto wake wawili Stephano Mwaisango na Emanuel Mwaisango kwa tuhuma za mauaji ya Jenti Sengela (87) ambaye alikuwa shemeji wa mtuhumiwa Solomon Mwambyale. Tukio hilo linadaiwa kutokea Februari 7, 2026 katika Kitongoji cha Busoka Kijiji cha Lusungo Kata ya Makwale,…