ENZI MPYA YA MAAJABU YA NGORONGORO

Kassim Nyaki, Ndutu Ngorongoro. Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani? Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma  ndani ya hifadhi ya Ngorongoro eneo la Ndutu kwa uzinduzi wa Chapa mpya ya Destination Ngorongoro. Kamishna wa Uhifadhi mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Abdul-Razaq Badru ameongoza Menejimenti ya mamlaka hiyo na wadau mbalimbali wa sekta…

Read More

Urusi Yashambulia Gridi ya Umeme Ukraine

Urusi imefanya shambulizi kubwa dhidi ya miundombinu ya nishati nchini Ukraine, hatua iliyosababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mengi ya nchi hiyo. Taarifa hiyo imetolewa leo na Kampuni ya Taifa ya Umeme ya Ukraine, Ukrenergo. Kupitia ujumbe uliotolewa kwenye mtandao wa Telegram, Ukrenergo imesema kuwa mashambulizi hayo bado yanaendelea, huku ikibainisha kuwa…

Read More

Sita wanusurika kifo radi ikiteketeza nyumba Tabora

Tabora. Watu sita wa familia moja, wakazi wa kijiji cha Ulamba, kata ya Kalunde, Manispaa ya Tabora, wamenusurika kifo baada ya kupigwa na radi iliyosababishwa na mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo, huku nyumba yao ikiteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, Februari 7, 2026. Tukio hilo limesababisha watu hao kupata majeraha katika sehemu mbalimbali za…

Read More

Wavuvi Mkokotoni waomba kipaumbele masoko mapya ya samaki

Unguja. Wavuvi na wajasiriamali wa mazao ya baharini wanaofanya shughuli zao katika maeneo ya Fungurefu na Mkokotoni mkoani Kaskazini Unguja, wameiomba Serikali kuwapa kipaumbele pindi miradi ya masoko ya samaki inayojengwa katika maeneo hayo itakapokamilika. Ombi hilo limetolewa leo Februari 7, 2026 mbele ya Naibu Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Mboja Ramadhan Mshenga,…

Read More

DC Itunda Ahimiza chakula mashuleni Mbeya

📍 Ammwagia sifa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu Na Mwandishi Wetu, Mbeya MABORESHO yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika sekta ya elimu yameendelea kuzaa matunda baada ya ufaulu wa wanafunzi kuongezeka kwa kasi nchini.  Akizungumza na wadau wa elimu Jijini hapa, Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe Solomon Itunda alisema maboresho…

Read More