Gharama Iliyofichwa kwa Mazao na Udongo – Masuala ya Ulimwenguni

Mafuriko yanaibuka haraka kama tishio ambalo linahatarisha na kudhoofisha usalama wa chakula, afya, miundombinu, na uchumi katika muda mfupi na mrefu. Mkopo: Shutterstock Maoni by Esther Ngumbi (urbana, illinois, sisi) Ijumaa, Februari 06, 2026 Inter Press Service URBANA, Illinois, Marekani, Februari 6 (IPS) – Afrika Kusini, Msumbijina Zimbabwe kwa sasa inakabiliwa na mafuriko makubwa. Kulingana…

Read More

Tume yakutana na Mganga Mkuu wa Mkoa

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Thomas Rutachunzibwa. Rutachunzibwa katika mkutano huo wa Tume uliofanyika  katika Ukumbi uliopo katika Jengo la Takwimu lililopo mkoani hapa aliongozana na wataalamu wa afya kutoka ndani yam…

Read More

Tume yakutana na Mbunge Waitara

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara. Mkutano huo wa Tume na Waitara umefanyika katika Ukumbi uliopo katika Jengo la Takwimu lililopo mkoani Dodoma. Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni pamoja na namna matukio hayo yalivyoanza,…

Read More

WAHITIMU WA MASTERS, CHUO CHA UHASIBU ARUSHA WATAKIWA KUFANYIA TAFITI CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI JAMII

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV Arusha SERIKALI imewataka wahitimu wa Shahada ya uzamili katika chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kujiimarisha katika tafiti mbalimbali za kitaaluma na kutoa majibu ya changamoto halisi zinazoikabili Taifa katika masuala ya usimamizi wa fedha, ukuaji wa uchumi jumuishi, ajira,ubunifu na matumizi sahihi ya teknolojia. Wito huo umetolewa leo 6 Februari…

Read More

Tume yakutana na Waziri Mkuu Mstaafu, Pinda

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Leo Februari 6, 2026 imekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda. Mkutano huo wa Tume na Pinda umefanyika katika ukumbi uliopo katika Jengo la Takwimu lililopo mkoani hapa. Miongoni mwa yaliyojadiliwa katika mkutano huyo ni…

Read More

TBS yateketeza tani tatu za bidhaa hatarishi

Arusha. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kaskazini, limeteketeza bidhaa mbalimbali zenye uzito wa tani tatu zilizokuwa zimekwisha muda wa matumizi pamoja na zilizopigwa marufuku kutumika nchini kutokana na kuwa na viambata vinavyohatarisha afya ya binadamu. Uteketezaji wa bidhaa hizo umefanyika leo Ijumaa, Februari 6, 2026 katika Jalala Kuu la Jiji la Arusha lililopo…

Read More