Ukeketaji ukipungua, wadau wataka sheria kulinda wanawake watu wazima

Dar es Salaam. Wakati matukio ya ukeketaji yakitajwa kupungua hadi kufikia asilimia nane, wadau wa haki za binadamu wameitaka Serikali kutunga sheria maalum ya kupinga ukeketaji itakayowalinda pia wanawake watu wazima. Pia, wametaka kutungwa na kutekelezwa kwa sheria ndogo-ndogo katika mikoa yenye viwango vikubwa vya matukio ya ukeketaji, sambamba na kufanyiwa marekebisho Sheria ya Ndoa…

Read More

MASHIRIKA 30 YATAKA SHERIA MPYA KUFUNGA MIANYA YA UKEKETAJI

********** Mtandao wa mashirika yanayopinga ukeketaji Tanzania umependekeza kutungwa kwa sheria maalum ya kupinga ukeketaji itakayolinda pia wanawake watu wazima, ili kuziba mapengo yaliyopo kwenye mifumo ya kisheria na kuimarisha mapambano dhidi ya vitendo hivyo nchini. Akizungumza leo Februari 6, 2026, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt. Anna Henga,…

Read More

TAB yaomba msaada vifaa saidizi kwa watu wasioona

Dar es Salaam. Jumuiya ya Watu Wasioona Tanzania (TAB) imewaomba wadau mbalimbali kuendelea kuwasaidia vifaa saidizi, zikiwamo fimbo za kutembelea na mashine za kuandikia maandishi ya nukta nundu, vinavyowawezesha watu wenye ulemavu wa kuona kuendesha maisha yao ya kila siku kwa uhuru na kujiamini. Ombi hilo limekuja kufuatia kupokea msaada wa fimbo za kutembelea 452…

Read More

Posta kuwatumia wataalamu wa alama kurahisisha mawasiliano

Dodoma. Shirika la Posta Tanzania limepanga kuanza kuwatumia wataalamu wa lugha ya alama kuwezesha mawasiliano baina ya watoa huduma na watu wenye changamoto ya kusikia (viziwi) wanaofika vituoni kupata huduma. Hayo yameelezwa na Meneja wa Shirika hilo kutoka Dodoma, Dongwe Dongwe wakati akizungumza na wataalamu wa anuai za jamii kutoka Menejimenti ya Utumishi wa Umma…

Read More

Halmashauri ya Kahama yavunja mkataba wa mkandarasi

Kahama. Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imevunja mkataba kati yake na mkandarasi Sichuwan Road and Bridge Constraction Limited, aliyekuwa anajenga mradi wa barabara na madaraja yaliyokuwa chini ya Mradi wa Uboreshaji Miji nchini (Tactic). Mkataba wa utekelezaji wa mradi huo uliofadhiliwa na Benki ya Dunia, ulisainiwa Novemba mwaka 2023 na ulitakiwa kukamilika na…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa kusafirisha kilo nne za heroin ashinda kesi

Arusha. Mahakama Kuu Zanzibar imemuachia huru Rehema Mwinyimkuu Mohamed, aliyeshtakiwa kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa kilo nne, baada ya kubaini kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kesi hiyo bila kuacha shaka yoyote, kama inavyotakiwa kisheria katika mashauri ya jinai. Ildaiwa Januari 31, 2022, saa 8:10 usiku, katika Uwanja…

Read More

Rufaa ya aliyekuwa DED Simanjiro yagonga mwamba

Babati. Mahakama Kuu Kanda ya Manyara imeridhia kifungo cha miaka 20 jela kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunzah, anayekutumikia kifungo hicho gerezani kwa kosa la rushwa na kutumia madaraka vibaya, baada ya kushindwa rufaa yake. Uamuzi huo umetolewa leo, Ijumaa Februari 6, 2026, katika mahakama hiyo chini ya Jaji…

Read More