Upelelezi kesi wanaodaiwa kuiba The Voice Kinyerezi waiva
Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kisha kuiba Klabu ya The Voice Tz Limited, inayowakabili Tumaini Moshi (33) na Gasper Mmari (24), umekamilika. Tumaini na Mmari ambao wote ni wakazi wa Kinyerezi wilaya ya Ilala, wanakabiliwa na shtaka moja la unyang’anyi wa kutumia silaha na kujipatia vitu mbalimbali vyenye…