‘DED’ Kigoma Ujiji, wenzake waliohukumiwa miaka 20 waachiwa
Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Kigoma imewaachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji (DED), Athumani Msabila na aliyekuwa mhazini wa halmashauri hiyo, Frank Nguvumali, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela. Msabila na mwenzake walikutwa na hatia ya makosa mawili ambayo ni kughushi nyaraka na utakatishaji fedha. Msabila na wengine 10 wakiwemo…