Kibarua kinachomsubiri Askofu Mteule wa Jimbo jipya la Bariadi
Arusha. Kuanza kwa jimbo jipya la Kanisa Katoliki ni sawa na kupanda mbegu kwenye ardhi mpya; huhitaji maono, uvumilivu na uongozi thabiti ili liote na kuzaa matunda. Hilo ndilo jukumu linalomsubiri Askofu Mteule Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa kwanza wa Jimbo jipya la Katoliki la Bariadi, aliyeteuliwa Januari 8, 2026 na Baba Mtakatifu Leo XIV….