MPE MTOTO ELIMU NA SI MAUMIVU, KATAA UKEKETAJI!

Tarehe 6 ya mwezi Februari kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukeketaji. Lengo la siku hii ni kuongeza uelewa na jitihada za kutokomeza vitendo vya ukeketaji, kutathmini hatua zilizofikiwa na kuja na mikakati ya namna ya kubaini na kutokomeza vitendo hivyo. Wakati dunia ikiadhimisha siku hii, takwimu mbalimbali zinaonyesha kuwa mamilioni ya…

Read More

Waziri Riziki awataadharisha wawekezaji kwenye sanaa Zanzibar

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar Riziki Pembe, ametoa wito kwa wawekezaji kwenye sanaa Zanzibar kuzingatia mila na tamaduni. Akiwa kwenye tamasha la Sauti za Busara, Februari 5,2026 Riziki amesema miundombinu ya Zanzibar ni rafiki kwa wawekezaji wa aina zote ikiwemo biashara, kisanaa ndiyo maana hata filamu ya The Royal Tour imefanyika pia…

Read More

Maandalizi ufunguzi Soko Kuu Kariakoo, wamachinga wahama

Dar es Salaam. Wamachinga wanaofanya biashara katika mitaa ya kuingia Soko Kuu la Kariakoo wameondoa meza na mizigo yao kupisha maandalizi ya uzinduzi wa soko hilo unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Februari 8, 2026. Soko hilo limekuwa kwenye ukarabati kwa muda mrefu tangu lilipoteketea kwa moto mwaka 2021 na kuteketeza mali zote za wafanyabiashara waliokuwemo ndani ya…

Read More

Barabara ya njia nane, dawa ya msongamano Bandari ya Dar

Dar es Salaam. Jitihada za kupunguza msongamano wa magari katika Bandari ya Dar es Salaam zinatarajiwa kuimarika, baada ya Serikali kutangaza mpango wa kuboresha Barabara ya Nelson Mandela inayounganisha eneo la bandari na Barabara ya Morogoro. Barabara ya Morogoro ni lango kuu la usafirishaji kuelekea mikoa ya ndani ya nchi na mataifa jirani yasiyo na…

Read More

INDIA YAELEZWA TUNDA LA MTI WA KATI LILILIWA NGORONGORO

India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva walikula tunda la Mti wa kati. Katika maonesho ya kimataifa ya utalii yanayofanyika  India tarehe 6-7 Januari, 2026 Afisa Masoko Mkuu Michael Makombe anatoa elimu kwa washiriki kuhusu kasoko ya Ngorongoro kuwa…

Read More

Kuweka ‘tumaini hai kwa vizazi vichanga’ nchini Haiti kadiri ufadhili unavyodorora – Global Issues

Vikundi vyenye silaha vinadhibiti maeneo makubwa ya Port-au-Prince, kwa kulazimisha zaidi ya watu milioni 1.4 kutoka makazi yao na kupunguza upatikanaji wa huduma za chakula, afya, maji na elimu. Nusu ya idadi ya watu hawapati chakula cha kutosha, na utapiamlo miongoni mwa watoto unaongezeka kwa kasi. Juhudi za kibinadamu zinatatizwa na ukosefu wa usalama na…

Read More