Ujenzi wa Stendi ya Mabasi Bondeni City Watajwa Kuibua Fursa Mpya za Kiuchumi Arusha
Na Pamela Mollel Arusha, Mradi wa ujenzi wa Stendi ya Mabasi Bondeni City unaendelea kuwa miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati inayolenga kuboresha huduma za usafiri na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika Jiji la Arusha, baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mhe. Paul…