Makapu, Bahanuzi waukubali mziki wa Bacca

MWENDELEZO wa kiwango anachokionyesha beki wa Yanga, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ kimemuibua kiungo wa Bigman FC iliyopo Ligi ya Championship, Said Juma ‘Makapu’ anayeamini kinatokana na uvumilivu na nidhamu, huku straika mwingine wa kimataifa wa zamani, Said Bahanuzi akimpigia saluti. Makapu aliyewahi kuichezea Yanga aliuelezea uchezaji wa Bacca kuwa ni wa kutumia nguvu, akili na kasi,…

Read More

FAR Rabat watia mkono mechi ya Yanga

YANGA inapiga hesabu kwa sasa ni namna gani kikokotoo chake kitatoboa ili itinge robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wale Waarabu wa Morocco wameibuka na kutia mkono mechi ijayo ya Zanzibar wakiwajaza upepo JS Kabylie ya Algeria kwamba wafanye kweli. …

Read More

Kocha Simba: Okello mtamu akicheza hapa!

MASHABIKI wa soka wa Yanga bado hawajui kilichoipata timu hiyo yenye nyota wakali na walioonekana huenda ikawa timu pekee ya Tanzania kutinga robo fainali kabla ya upepo kubadilika ghafla, lakini kuna kocha mmoja ameamua kufichua ‘code’ zinazoweza kuwabeba wananchi katika mechi ya mwisho ya Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Kabylie…

Read More