Makapu, Bahanuzi waukubali mziki wa Bacca
MWENDELEZO wa kiwango anachokionyesha beki wa Yanga, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ kimemuibua kiungo wa Bigman FC iliyopo Ligi ya Championship, Said Juma ‘Makapu’ anayeamini kinatokana na uvumilivu na nidhamu, huku straika mwingine wa kimataifa wa zamani, Said Bahanuzi akimpigia saluti. Makapu aliyewahi kuichezea Yanga aliuelezea uchezaji wa Bacca kuwa ni wa kutumia nguvu, akili na kasi,…