Rais Mstaafu Dkt Kikwete Akabidhiwa Nakala ya Kitabu cha Plato
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea nakala ya kitabu “Jamhuri na Plato” kilichotafsiriwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kutoka kwa Bw. Walter Bgoya, Mkurugenzi wa kampuni ya uchapishaji ya Mkuki na Nyota, mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam. Kitabu hiki, asili yake ikiwa ni The…