Mawinga, madalali wanakuza au kuzorotesha biashara…
Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wamekuwa wakilalamikia huduma zinazotolewa na madalali na mawinga, wakidai kwamba wamekuwa chanzo cha kupanda kwa bei za bidhaa au huduma sokoni, jambo linalowaumiza walaji wa mwisho. Wanasema mawinga wa masokoni na madalali wa vyumba, fremu za biashara na nyumba hupandisha bei za huduma na kufanya baadhi ya watu kushindwa…