SERIKALI YALIPA ASILIMIA 95 YA DENI LA KIHISTORIA MIFUKO YA HIFADHI, WAZIRI SANGU AIPONGEZA AWAMU YA SITA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akiwa katika picha ya pamoja ya Viongozi mara baada ya kuzindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii, Februari 9, 2025 Jijini Arusha. ……… Na OWM-KAM,Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa Deus…