Haya hapa maagizo ya Rais Samia akizindua Soko Kuu Kariakoo

Dar es Salaam. Huenda Soko la Kariakoo unalolifahamu au kuwahi kulisikia likawa na taswira mpya, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza utaratibu mpya wa maegesho, njia za kusafirisha mizigo na kufunguliwa kwa barabara zinazoingia na kutoka sokoni humo. Lingine aliloelekeza ni kujengwa kwa maeneo ya watoto kucheza, kuimarishwa ulinzi, viwango vya ubora wa bidhaa…

Read More

Maxime: Mfumo sasa umekubali, yeyote aje tu!

BAADA ya msoto wa muda mrefu bila ushindi, hatimaye juzi Mbeya City ilikata mzizi wa fitina kwa kuikanda TRA United kwa mabao 2-0, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Mecky Maxime akitamba kuwa mfumo sasa umekubali na wapo tayari kuvaana na yoyote. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu, haikuwa na mwanzo mzuri chini ya…

Read More

Maeneo saba ya utekelezaji wa bajeti ya elimu Zanzibar

Unguja. Katika juhudi za kuimarisha sekta ya elimu, Serikali imeanisha maeneo saba ya vipaumbele vya utekelezaji wa bajeti ya elimu kwa mwaka 2025/26 ili kutoa elimu bora, huku ikitaja tija iliyoanza kuonekana kufuta rekodi za Zanzibar kushika mkia katika matokeo ya mitihani ya taifa. Maeneo hayo ni pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa 1,008,…

Read More

Viongozi wa dini watakiwa kuliombea Taifa

Haydom. Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Regina Ndege amewasihi viongozi wa dini kuendelea kuliombea Taifa na viongozi wa nchi ili waongoze kwa busara, kumcha Mungu na kuwahudumia wananchi kwa haki na uadilifu. Ndege ameueleza hayo leo Jumapili Februari 8, 2026 usharika wa Haydom Dayosisi ya Mbulu mkoani Manyara,…

Read More

Askofu Gwandu: Mitandao ya kijamii imejaa chuki na mipasho

Manyara. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mbulu, John Gwandu, amesema mitandao ya kijamii imekuwa uwanja wa matusi, fujo na mipasho, hali inayochochea chuki na kuharibu misingi ya amani na mshikamano wa Taifa. Askofu Gwandu amesema licha ya Watanzania kupenda amani, wanachokihitaji zaidi kutoka kwa viongozi wao ni kutendewa haki,…

Read More

Aliyejeruhiwa ajalini afariki dunia kwa ajali nyingine

Kilwa. Majeruhi aliyepata ajali katika basi la Maning Nice iliyotokea jana saa 12 asubuhi, Ahmad Ally, amefariki dunia baada ya kupata ajali katika eneo la Mavuji, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, wakati akipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi. Ally, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40–50, amefariki dunia katika ajali iliyotokea saa 7 usiku…

Read More