Kinachokwamisha wagonjwa wa kifafa kupata matibabu

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Kifafa kesho, Februari 9, 2026, imani potofu juu ya ugonjwa huo na unyanyapaa umetajwa kama kikwazo kikuu kwa wagonjwa kutafuta matibabu kwa wataalamu wa afya nchini. Wataalamu wanaeleza kuwa kifafa huanza baada ya athari kwenye ubongo, na mtu hupata mshituko katika eneo hilo…

Read More

Mohamed Badru: Shilla atang’aa Sweden

KOCHA wa zamani wa Azam FC, Mohamed Badru amesema anajivunia kuona vijana aliowafundisha kwenye timu za vijana wakipata nafasi kimataifa baada ya Mohamed Shilla kutambulishwa AIK ya Sweden. Badru aliyemfundisha Shilla alipokuwa Azam FC ya vijana, amesema kiungo mshambuliaji huyo ana nidhamu, akili ya mpira na uwezo wa kucheza zaidi ya nafasi moja, vitu vinavyompa…

Read More

Waungana kuinua biashara za wanawake Tanzania

Dar es Salaam. Kuimarisha biashara ndogo na za kati (MSMEs) za wanawake, pamoja na kuwawezesha katika matumizi ya teknolojia za kidijitali, ni miongoni mwa njia muhimu za kuwaendeleza kiuchumi na kuongeza ushindani wao katika soko. Sambamba na hilo, kuwajengea wanawake ujuzi wa uongozi, kuongeza utayari wao wa kukua kifedha, na kushughulikia vikwazo vya kijamii vinavyokwamisha…

Read More