Rais Dkt. Samia Aondoka Addis Ababa Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU
Rais Dkt. Samia Aondoka Addis Ababa Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU – Global Publishers Home Habari Rais Dkt. Samia Aondoka Addis Ababa Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU
Rais Dkt. Samia Aondoka Addis Ababa Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU – Global Publishers Home Habari Rais Dkt. Samia Aondoka Addis Ababa Baada ya Kushiriki Mkutano wa AU
Polisi Inawasaka Waliomrekodi Mtoto Akivuta Sigara – Global Publishers Home Habari Polisi Inawasaka Waliomrekodi Mtoto Akivuta Sigara
MSHAMBULIAJI wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ sio chaguo la kwanza la washambuliaji wa kikosi cha timu hiyo, lakini kiwango anachokionyesha kimewastajabisha mastaa waliofichua sababu inayosababisha nyota huyo aliyepo kwa mkopo kutokea Wydad Casablanca asiwe panga pangua. Gomez ambaye msimu uliopita alikuwa akiitumikia Fountain…
Wafanyakazi wa Taifa Gas na wadau wengine wakiwa na furaha katika moja ya vituo karibu na kilele cha Mlima Kilimanjaro kwenye zoezi la kupanda mlima baada ya kampuni hiyo kudhamini programu ya kutangaza vivutio vya utalii na uhifadhi wa mazingira ambayo inaitwa “Guardians of the Peak” na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. ***** Kampuni ya…
REKODI mbili zinaipa matumaini Yanga kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika leo wakati itakapoikaribisha JS Kabylie katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 1:00 usiku. Rekodi hizo mbili ni za…
KIUNGO wa Barberian FC, Muhsin Mlaga, amesema licha ya mwenendo usioridhisha kwa timu hiyo katika Ligi ya Championship hadi sasa msimu huu, ila bado wana nafasi ya kurekebisha changamoto mbalimbali, ikiwemo za kutumia vyema nafasi kufunga. Nyota huyo anayemudu kucheza kiungo wa ukabaji na ushambuliaji aliyehusishwa kutua Simba katika dirisha dogo la Januari 2026, amesema…
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Barabara Mhandisi Rashid Kalimbaga akimuelekeza jambo Meneja wa TANROADS Iringa Mhandisi Yudas Msangi (alieshika karatasi), wakati wa ziara ya ukaguzi wa barabara ya Iringa-Mtera. Kulia kwa Msangi ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Mhandisi Mussa Natty na Kaimu Mkurugenzi Huduma za Matengenezo wa Bodi Mhandisi Jacob Mukasa….
Sharobaro wa Nyumbu au kijana wa nyumbu anayezaliwa Ndutu ni tofauti na vijana binadamu wanaozaliwa mijini kama Dar es Salaam Nyumbu wana mpangilio wa kushika mimba na kuzaliwa kwa pamoja kitaalumu (Synchronization.) Hii ni moja ya maajabu makubwa ya nyumbu wanaopatikana Hifadhi ya Ngorongoro na wanaokamilisha ikolojia ya Nyumbu katika mfumo wa Serengeti. Ndama wa…
………… Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha wananchi wanazielewa sheria za nchi kwa kuzitafsiri katika lugha ya Kiswahili, hatua inayolenga kuongeza uelewa, uwajibikaji na upatikanaji wa haki kwa kila Mtanzania. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa mafunzo ya sheria kwa waandishi wa habari wa Mkoa wa Dodoma, Kaimu Mkurugenzi wa Divisheni ya…
Canada. Kuna ndoa nyingi ambapo wanandoa wanaishi nyumba moja na kulala kitanda kimoja lakini hawaishi pamoja. Kimwili wako pamoja japo kiroho wako dunia tofauti. Wanaishi kwa pamoja ila si pamoja. Tuliwahi kugusia madhara ya mitandao na rununu. Mfano, unakuta mke au mume hana haki wala mamlaka ya kujua nywila ya simu ya mwenzake achia mbali…