Challe alia ufinyu wa kikosi KenGold
KOCHA Mkuu wa KenGold, Jumanne Challe, amesema sababu ya timu hiyo kutokuwa na mwenendo mzuri hadi sasa, ni kutokana na ufinyu wa kikosi kilichopo, kwa sababu wachezaji wengi wanacheza maeneo ya ushambuliaji zaidi kuliko eneo la kujilinda. Akizungumza na Mwanaspoti, Challe, amesema katika wachezaji wanaocheza nafasi za ushambuliaji ni wengi katika timu hiyo, jambo linalochangia…