Kilichokwamisha dili la Shomary Kazakhstan

DILI la aliyekuwa beki wa kushoto wa KMC, Rahim Shomary kujiunga na FK Zhenys inayoshiriki Ligi Kuu ya Kazakhstan, limeshindwa kukamilika, baada ya nyota huyo kuamua kurejea nchini na kutua Singida Black Stars. Nyota huyo aliyejiunga na Ghazl El Mahalla ya Misri, Julai 14, 2025 na kusaini mkataba wa miaka mitatu baada ya kuachana na…

Read More

Freshi wanetu…Ndo hivyo haikuwa rahisi

USIKU wa jana, zimepigwa mechi tatu za CAF zilizohusisha timu za Tanzania ambapo Yanga ilikabiliana na AS FAR Rabat, huku Simba ikicheza dhidi ya Petro Atletico, hizi zilikuwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika zikicheza ugenini, wakati Azam ikaikaribisha AS Maniema kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. …

Read More

Padri Kanisa Katoliki adaiwa kutoweka, asakwa kwa miezi sita

Geita. Imepita miezi sita tangu kutoweka kwa Padri Peter Rwezahura wa Shirika la Wamisionari wa Clara, aliyekuwa akihudumu katika Kituo cha Makoko, Jimbo Katoliki la Musoma. Kanisa hilo limewaomba Watanzania na watu wa ukanda wa Afrika Mashariki kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Februari 5, 2026 na Mkuu wa Shirika la…

Read More

Mambo Wasiyopenda Wanaume Kwa Wanawake

KUPITIA safu hii nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa wanawake. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au kuachwa. Leo anakuwa na mwanaume huyu, baada ya muda mfupi kunatokea chokochoko, mwanaume anatimka zake. Jamaa anamkimbia na kwenda kuanzisha uhusiano mwingine. Baada ya kukimbiwa, mwanamke hakati tamaa. Anaanzisha uhusiano mwingine, ndani ya muda mfupi tu, anaambulia…

Read More