DC Itunda Ahimiza chakula mashuleni Mbeya

📍 Ammwagia sifa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu Na Mwandishi Wetu, Mbeya MABORESHO yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika sekta ya elimu yameendelea kuzaa matunda baada ya ufaulu wa wanafunzi kuongezeka kwa kasi nchini.  Akizungumza na wadau wa elimu Jijini hapa, Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe Solomon Itunda alisema maboresho…

Read More

Nchimbi: Mageti ya Ikulu yafungwe dhidi ya waovu

Dar es Salaam. Makamu wa Rais Dk Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania wa dini zote kutumia nafasi yao ya kiimani kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan, akisisitiza kuwa afya, busara na usalama wake vina uhusiano wa moja kwa moja na utulivu, mshikamano na maendeleo ya Taifa. Mbali na hilo amesema kuna haja pia ya kumuombea Rais apate…

Read More

Ukosefu wa taa za barabarani wachochea uporaji Tanga

Tanga. Wakazi wa Jiji la Tanga wamelalamikia ukosefu wa taa za barabarani katika baadhi ya mitaa, wakisema hali hiyo imekuwa ikitumiwa na vikundi vya vijana maarufu kama vishandu kujihusisha na uporaji wa mikoba na simu, pamoja na kuwajeruhi wananchi kwa kutumia silaha za jadi. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kwa nyakati tofauti wiki hii katika Kata…

Read More

Mitazamo tofauti Rais Samia akifanya uteuzi

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan, kufanya uteuzi wa viongozi na kuongeza vitengo katika baadhi ya wizara, wachambuzi na wachumi wamekuwa na mitazamo tofauti.Baadhi wanasema mabadiliko hayo yanabeba mageuzi ya namna Serikali inavyotekeleza majukumu yake, kusimamia rasilimali na kuharakisha utoaji wa huduma kwa wananchi huku wengine wakidai itaongeza mzigo katika…

Read More

Tandika Jamvi la Ushindi na Meridianbet Leo

WAKALI wa ubashiri wanakwambia kuwa siku ya leo unaweza ukaondoka na mkwanja mnene ukibashiri mechi zako na Meridianbet leo. Suka jamvi lako na uondoke na pesa yako sasa. Ligi kuu ya Uingereza itaendelea EPL ambapo mapema kabisa Manchester United watakipiga dhidi ya Tottenham Spurs ambapo mara ya mwisho kukutana walitoka sare. Je safari hii nani…

Read More