Tandika Jamvi la Ushindi na Meridianbet Leo

WAKALI wa ubashiri wanakwambia kuwa siku ya leo unaweza ukaondoka na mkwanja mnene ukibashiri mechi zako na Meridianbet leo. Suka jamvi lako na uondoke na pesa yako sasa. Ligi kuu ya Uingereza itaendelea EPL ambapo mapema kabisa Manchester United watakipiga dhidi ya Tottenham Spurs ambapo mara ya mwisho kukutana walitoka sare. Je safari hii nani…

Read More

KASENGA WAIKUBALI TARURA UJENZI WA DARAJA LA VIFO

:::::::::: WAKAZI wa Kijiji cha Mwangaza Kata ya Kasenga wilayani Chato mkoani Geita, wameonyesha kufurahishwa na ujenzi wa daraja lenye historia ya kusababisha vifo vya wananchi watatu. Wametoa pongezi zao mbele ya mkuu wa wilaya ya Chato, Louis Peter Bura, aliyetembelea eneo hilo katika ziara ya kikazi iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye…

Read More

Meli ya kwanza ya EACOP kusafirisha mafuta Julai

Dar es Salaam. Tanzania na Uganda zimepiga hatua mpya katika kuimarisha diplomasia ya kiuchumi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kuwa meli ya kwanza ya kusafirisha mafuta ghafi kupitia Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP) inatarajiwa kuondoka Bandari ya Chongoleani, Tanga, mwezi Julai mwaka huu. Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi,…

Read More

Ofisa wa Polisi alivyokwepa kifungo cha miaka 20 jela

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela alichokuwa amehukumiwa Konstebo wa Polisi, Emmanuel Manase baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi iliyokuwa na uzito wa kilo 208.15. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kesi hiyo pasipo…

Read More

Upokonyaji wa silaha za nyuklia katika hatua ya mwisho huku kutoaminiana kunapoongezeka – lakini matumaini yanabaki – Masuala ya Ulimwenguni

Bado hata kama usanifu unadhoofika, dalili za maendeleo – ikiwa ni pamoja na maeneo yasiyo na silaha za nyuklia na kuongezeka kwa ushiriki wa vijana – hutoa misingi ya matumaini ya tahadhari, mtafiti wa Umoja wa Mataifa juu ya kutoeneza kwa nyuklia ameambia. Habari za Umoja wa Mataifa. Gaukhar Mukhatzhanova, mwenzake wa Taasisi ya Umoja…

Read More