Ofisa wa Polisi alivyokwepa kifungo cha miaka 20 jela

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela alichokuwa amehukumiwa Konstebo wa Polisi, Emmanuel Manase baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi iliyokuwa na uzito wa kilo 208.15. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kesi hiyo pasipo…

Read More

Upokonyaji wa silaha za nyuklia katika hatua ya mwisho huku kutoaminiana kunapoongezeka – lakini matumaini yanabaki – Masuala ya Ulimwenguni

Bado hata kama usanifu unadhoofika, dalili za maendeleo – ikiwa ni pamoja na maeneo yasiyo na silaha za nyuklia na kuongezeka kwa ushiriki wa vijana – hutoa misingi ya matumaini ya tahadhari, mtafiti wa Umoja wa Mataifa juu ya kutoeneza kwa nyuklia ameambia. Habari za Umoja wa Mataifa. Gaukhar Mukhatzhanova, mwenzake wa Taasisi ya Umoja…

Read More

Wahandisi watakiwa kutekeleza maono ya Serikali kilimo cha umwagiliaji

Iringa. Wahandisi nchini wametakiwa kutekeleza kwa vitendo maono ya Serikali katika maendeleo ya kilimo cha umwagiliaji kwa kufanya kazi kwa weledi, uzalendo na uwajibikaji ili kuhakikisha miradi inayotekelezwa inaleta tija kwa wakulima na kuchangia usalama wa chakula nchini. Akizungumza jana Februari 6, 2026 katika ukumbi wa mikutano wa Royal Palm, Manispaa ya Iringa, wakati wa ufungaji…

Read More

Wawili wafariki dunia, 12 wajeruhiwa ajali ya basi Lindi

Lindi. Watu wawili wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Kampuni ya Maning Nice lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, baada ya kugonga lori lililokuwa limeharibika eneo la Mtange, Manispaa ya Lindi. Ajali hiyo imetokea leo Jumamosi Februari 7, 2026, saa 12 asubuhi na kusababisha vifo…

Read More

Mauwasa yaanza kufunga mita za maji za malipo kabla

Maswa. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) imeanza kufunga mita za maji za mfumo wa malipo ya kabla (prepaid water meters) kwa wateja wake. Akizungumza na Mwananchi leo Jumamosi Februari 7, 2026, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mauwasa, Kassim Kado amesema hatua hiyo inalenga kuboresha uwajibikaji, kuongeza uwazi katika ukusanyaji wa mapato…

Read More

Msaada wa baiskeli kuwakomboa wanafunzi kutembea umbali mrefu

Geita. Shule za sekondari  ya Evarist iliyopo Kata ya Nyarugusu na Rwamgasa, Kata ya Rwamgasa, Halmashauri ya Wilaya ya Geita, zimepatiwa baiskeli zitakazowawezesha wanafunzi kuwahi masomo kwa wakati. Jumla ya baskeli 100 zimetolewa, kila shule imepokea 50 kupitia ufadhili wa Mgodi wa Mwamba Mining kwa kushirikiana na Asante Africa Foundation pamoja na Buffalo Bicycles, ikiwa…

Read More