Msaada wa baiskeli kuwakomboa wanafunzi kutembea umbali mrefu
Geita. Shule za sekondari ya Evarist iliyopo Kata ya Nyarugusu na Rwamgasa, Kata ya Rwamgasa, Halmashauri ya Wilaya ya Geita, zimepatiwa baiskeli zitakazowawezesha wanafunzi kuwahi masomo kwa wakati. Jumla ya baskeli 100 zimetolewa, kila shule imepokea 50 kupitia ufadhili wa Mgodi wa Mwamba Mining kwa kushirikiana na Asante Africa Foundation pamoja na Buffalo Bicycles, ikiwa…