Kundi la IS huenda linajiunda upya – DW – 18.07.2024

Kulingana na afisa wa wizara ya ulinzi ya Marekani ambaye alizungumza kwa sharti la kutotajwa jina amesema mwaka 2023 kundi hilo lilihusika na mashambulizi yapatayo 121 katika katika mataifa hayo mawili. CENTCOM hata hivyo imesisitiza kuwa kuongezeka kwa mashambulizi ya kundi hilo la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu huko Iraq na Syria, kunadhihirisha kuwa IS inajaribu…

Read More

Mamia ya waumini wajitokeza kuwekwa wakfu Askofu Mwasekaga

Mbeya. Mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki kutoka maeneo mbalimbali nchini wamejitokeza katika ibada maalumu ya kuwekwa wakfu, Askofu msaidizi mteule, Godfrey Mwasekaga. Tukio hilo linafanyika leo JumapiliMei 26, 2024 katika Viwanja vya Sokoine jijini Mbeya huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa  mgeni rasmi katika ibada hiyo ya kumsimika kiongozi huyo wa kiroho. Mwasekaga aliteuliwa…

Read More

Mwalimu, Minja kuwavaa Samia, Mpina urais Oktoba

Dar es Salaam. Mbio za kwenda Ikulu ya Tanzania ndani ya vyama vya siasa zimezidi kushika kasi baada ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) nacho kuwapata viongozi wawili watakapeperusha bendera yake. Salum Mwalimu, katibu mkuu wa chama hicho, ndiye amepewa jukumu la kupeperusha bendera  hiyo huku Devotha Minja akipendekezwa kuwa mgombea mwenza wake. Kwa…

Read More

Mambo matatu yanayomsubiri Rais mpya Ghana

Dar es Salaam. John Mahama ameapishwa jana Jumanne, Januari 7, 2025 kuwa Rais wa awamu ya tatu, huku taifa hilo lilikabiliwa na changamoto ya uchumi. Rais Muhama katika kampeni zake alijinadi kukabiliana na anguko la kiuchumi, rushwa na ukosefu wa ajira nchini humo. Kiongozi huyo mwenye miaka 65, amewahi kuwa Rais wa nchi hiyo kwa…

Read More

Singida Black Stars yafunguka ishu ya Lyanga, Mpepo

UONGOZI wa Singida Black Stars umesema nyota wawili wa timu hiyo, Ayoub Lyanga na Eliuter Mpepo, bado wana mikataba ya kuendelea kukitumikia kikosi hicho msimu huu, licha ya kudaiwa kutokuwa kwenye mipango ya timu hiyo na huenda wakaachwa. Ofisa Habari na Mawasiliano wa Singida, Hussein Massanza, aliliambia Mwanaspoti nyota hao wote wawili bado wana mikataba…

Read More

Matano ya kuzingatiwa Kariakoo ikianza biashara saa 24

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza Januari 2025 kuanza utaratibu wa kufanya biashara kwa saa 24 eneo la Kariakoo, wafanyabiashara wametaja mambo matano ambayo yakifanyika mchakato huo utafanikiwa. Mambo hayo ni ulinzi na usalama, changamoto za chemba za maji taka zifanyiwe kazi, umeme wa uhakika, benki kuongeza muda wa kutoa huduma na njia zilizopo maeneo…

Read More