Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • DC Sitta atoa agizo juu ya matumizi sahihi ya mapato ya MBOMIPA

    2 minutes ago
  • DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII

    11 minutes ago
  • ‘Tunahitaji Mfumo Mpya wa Kisheria wa Kiulimwengu Unaofikiria Upya Ukuu katika Muktadha wa Uhamisho wa Hali ya Hewa’ – Masuala ya Ulimwenguni

    12 minutes ago
  • WAHITIMU CHUO CHA USTAWI WA JAMII WATAKIWA KUBADILI HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUWA BIASHARA

    23 minutes ago
  • Sababu kesi ya kuporomoka jengo la Kariakoo yakwama mara ya nane

    30 minutes ago
  • Mpogolo Awasisitiza Madiwani Ilala Kushirikiana na Serikali za Mitaa Kutatua Kero za Wananchi

    35 minutes ago
  • Home
  • 2024
  • August
  • 12
  • AMREF TANZANIA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA VIJANA DUNIANI – DODOMA
  • Habari

AMREF TANZANIA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA VIJANA DUNIANI – DODOMA

Admin1 year ago01 mins
41
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Ridhiwani Kikwete amefunga maadhimisho ya siku ya vijana kitaifa yaliyofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.

Mbali na mambo mengine, Waziri Ridhiwani Kikwete ametembelea banda la Amref Tanzania na kuelezwa namna AmrefTanzania inavyounga mkono juhudi za serikali katika kuhakikisha miradi mbalimbali inayotekelezwa na shirika kwa kushirikiana na wadau wake inavyolenga kutatua changamoto zinazowakabili (vijana) katika masuala ya Afya ili kuboresha maisha yao na jamii kwa ujumla.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni; “Vijana na Matumizi ya Fursa za Kidijitali kwa Maendeleo Endelevu”.

Post navigation

Previous: Olamide anashikilia rekodi ya kuwa na watazamaji wengi zaidi TikTok Live
Next: Mzize: Chama ana jicho la pasi

Related News

DC Sitta atoa agizo juu ya matumizi sahihi ya mapato ya MBOMIPA

Admin2 minutes ago 0

DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII

Admin11 minutes ago 0

WAHITIMU CHUO CHA USTAWI WA JAMII WATAKIWA KUBADILI HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUWA BIASHARA

Admin23 minutes ago 0

Sababu kesi ya kuporomoka jengo la Kariakoo yakwama mara ya nane

Admin30 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo