HabariVita ya Lugalo ilivyozaa jina kambi ya jeshi Admin10 months ago01 mins 15 Neno Lugalo kwa wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Iringa, siyo geni.Kwa Iringa jina hilo linawarudisha hadi miaka ya 1891 wakati Chifu Mkwawa wa Wahehe alipokuwa akikabiliana na jeshi la Mjerumani. Post navigation Previous: Aziz Andabwile afichua mipango YangaNext: Ulimwengu wataka Mashariki ya Kati isitumbukie vitani – DW – 25.09.2024