HabariJOTI ASHINDA TUZO YA MCHEKESHAJI BORA MKONGWE Admin10 months ago01 mins 41 Tuzo ya Mchekeshaji Mkongwe imekwenda Kwa Lucas Mhuvile a.k.a Joti . Joti anaondoka na tuzo ya pili Usiku wa tuzo za Ucheshi (TCA) ambapo awali akikabidhiwa tuzo ya Mchekeshaji bora Muigizaji Wakiume wa Mwaka pamoja na Tuzo ya Mchekeshaji Mkongwe Post navigation Previous: ASMA JAMEEDA ASHINDA TUZO YA MCHEKESHAJI BORA WA KIKE WA MWAKANext: UN huko Ukraine inajiandaa kwa mbaya zaidi, matarajio ya maswala bora zaidi ya ulimwengu