Mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo ameibua tuhuma nzito bungeni jijini Dodoma akidai kuna ufisadi mkubwa kwenye ujenzi wa Jengo la Utawala jijini Arusha.
Habari za Kitaifa
Mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo ameibua tuhuma nzito bungeni jijini Dodoma akidai kuna ufisadi mkubwa kwenye ujenzi wa Jengo la Utawala jijini Arusha.